Mabeki wa Timu ya Njombe Mji pamoja na Kipa wao, wakijaribu kuuzuia mpira uliokuwa ukiekea langoni mwao baada ya kuligwa vizuri na Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na kuandika goli la kuongoza, katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara unaopigwa kwenye Dimba la Uhuru jijini Dar hivi sasa. Simba inaongoza kwa bao 3-0.
Mshambuliaji wa Njombe Mji, Jimmy Mwaisondela akipokea mpira kwa ustadi kabisa, katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara unaopigwa kwenye Dimba la Uhuru jijini Dar hivi sasa. Simba inaongoza kwa bao 3-0
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...