SIMU.TV: Mamlaka za upimaji na kupanga maeneo nchini zimeshauriwa kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya viwanda na makazi kwa kuzingatia utunzaji wa mazingira; https://youtu.be/ayvV8v94aKc

SIMU.TV: Mkuu wa magereza nchini kamishina jenerali Dr Juma Malewa ametoa wito kwa askari wa jeshi hilo kutumia kikamilifu rasilimali walizonazo kukuza uchumi; https://youtu.be/s7uddn9hvoE

SIMU.TV: Kituo cha huduma cha pamoja cha ushuru na forodha cha Rusumo wilayani Ngara kimeanza kufanya kazi kwa masaa 24 ili kupunguza msongamano wa wateja; https://youtu.be/91SBRM0QV9w

SIMU.TV: Rais wa Zanzibar Dr Alli Shein amewaapisha viongozi wa taasisi mbalimbali visiwani humo ambao aliwateua hivi karibuni; https://youtu.be/SsMSynToREA
Makamu wa Rais Samia Suluhu amewasili mkoani Arusha kwa ajili ya kushiriki uzinduzi wa makumbusho ya Olduvai Gorge hapo kesho wilayani Ngorongoro; https://youtu.be/qpgoKfLRQ1M

SIMU.TV: Uongozi wa wilaya ya Kyela umetoa muda wa siku 7 kwa wamiliki wa vibanda vya biashara katika stendi ya Kasumulu kubomoa mabanda yao kupisha ujenzi wa kituo cha kisasa; https://youtu.be/L5d1NFmZDxw

SIMU.TV: Hifadhi ya taifa ya Ruaha imevunja rekodi ya kutembelewa na watalii wa ndani zaidi ya 160 katika kipindi cha siku mbili; https://youtu.be/0ocNf5kCSOg  

SIMU.TV: Uzalishaji wa mbaazi unatarajiwa kuongezeka nchini Tanzania kutokana na kupatikana kwa masoko mapya katika nchi za Afrika kusini, Uingereza na mashariki ya kati; https://youtu.be/bC0LSbTVd3c
SIMU.TV: Mkuu wa chuo cha elimu ya biashara CBE Prof Emmanuel Mjema amevishauri viwanda nchini Tanzania kuzalisha bidhaa zenye ubora kuhimili ushindani; https://youtu.be/RbHsUN1uiv8

SIMU.TV: Mfuko wa pensheni wa PSPF umeanza kushirikiana na benki mbalimbali nchini ili kuwawezesha wateja kuweza kupata mikopo kwa urahisi; https://youtu.be/pJToIgsiMZY
SIMU.TV: Fahamu hapa taarifa mbalimbali kuhusiana na kupanda kwa kushuka kwa bei za hisa katika soko la hisa jijini Dar Es salaam maarufu kama DSE; https://youtu.be/p2IbCCjJJ10

SIMU.TV: Mfuko wa pensheni wa PPF umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.4 kuwasomesha watoto wa wanachama wa mfuko huo waliofariki dunia; https://youtu.be/VWhHbL83y1o
SIMU.TV: Wakulima wilayani Kalambo mkoani Rukwa wametakiwa kuacha mara moja tabia ya ukataji wa miti kwa shughuli za kibinadamu kinyume cha sheria; https://youtu.be/boOzp_K877o

SIMU.TV: Wakazi wa eneo la Bombambili kata ya Kivule jijini Dar Es salaam wameiomba serikali kuwapelekea huduma za Umeme na barabara nzuri; https://youtu.be/eg_vM7S-vNc

SIMU.TV: Ujenzi wa barabara ya mita 700 katika mtaa wa Olympio Upanga jijini Dar Es salaam kwa kiwango cha lami umekamilika; https://youtu.be/7x-yTanUPRo  

SIMU.TV: Mastaa wa Tanzania wanaosakata soka la kulipwa nje ya nchi wameanza kuripoti nchini kujiunga na kambi ya timu ya taifa kuwasubiri Malawi; https://youtu.be/W6ECz52YMXg
SIMU.TV: Kocha msaidizi wa Ngorongoro Heroes Oscar Mirambo amesema kambi ya timu hiyo imeanza leo kwa ajili ya kupata kikosi bora kutoka kwa vijana 50 walioitwa; https://youtu.be/_5quy0rt9UA

SIMU.TV: Serikali imewaomba wadau wa michezo kuwekeza katika soka la vijana kwa kuwekeza kupitia mashuleni ambako kuna vipaji vingi zaidi; https://youtu.be/tj56UuDqDVE
SIMU.TV: Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotions Alex Masama amewaomba wasanii kuungana na serikali katika harakati za kuwasaka wezi wa kazi za sanaa;  https://youtu.be/3juTI9438HU

SIMU.TV: Shirikisho la soka barani Afrika CAF limethibitisha nchi za Morocco, Equtorial Guinnea na Ethiopia zimetuma maombi ya kuomba kuandaa michuano ya CHAN; https://youtu.be/vYfMQv9MShY

SIMU.TV: Katibu mkuu wa wizara ya Maji Prof.Mkumbo ataka jamii zinazoishi pembezoni mwa vyanzo vya maji kupatiwa elimu ta utunzaji mazingira. https://youtu.be/xvwGLmfBoqY

SIMU.TV: Naibu waziri Luhaga Mpina, akikalia kooni kiwanda cha sukari cha Mtibwa, kufuatia matumizi ya magogo katika uzalishaji licha ya kuzuiwa kufanya hivyo awali. https://youtu.be/91Uiom9zXLs

SIMU.TV: Hospitali ya rufaa ya Bugando iliyoko mkoani Mwanza yaelezwa kukabiliwa na uhaba mkubwa wa wataalamu na vifaa vya matibabu ya moyo. https://youtu.be/vi3lShsfxds

SIMU.TV: Vyama vya ushirika nchini, vimeaswa kuanzisha viwanda vidogo vidogo ili viweze kuleta tija katika ujenzi wa taifa. https://youtu.be/wboV_lNYt2A

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...