Wasamaria wema akiwemo Mwandishi wa habari na mpiga picha wa Kituo cha ITV , Mkoa wa Morogoro, Hussein Nuha wakitoa msaada wa kusaidia mmoja wa majeruhi ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja ambaye ni dereva wa gari Toyota Noah namba ya usajili T 782 DKV  inayofanya safari zake mji wa Ruaha   Kilosa - Mikumi baada ya gari hiyo kupinduka  eneo la Kijiji cha Lumango, katika  kona kali ya barabara ya Kilombero- Mikumi  katika ajali hiyo hapakutokea kifo chochote na majeruhi wote takribani 10 walikimbizwa katika Hospitali ya St Kizito   iliyopo Mikumi,  wilayani  Kilosa.
……………………………….
  Mmoja wa majeruhi wa ajali akimsaidia  kumbeba mwezake mama wa makamo  wote majina yao hayakuweza kufahamika mara moja  ambao walipata ajali baada ya gari Toyota Noah yenye namba ya usajili T 782 DKV  inayofanya safari zake mji wa Ruaha   Kilosa - Mikumi  kupinduka eneo la Kijiji cha Lumango, katika  kona kali barabara ya Kilombero- Mikumi , katika eneo la ajali hiyo hapa kuwa na  kifo chochote na majeruhi takribani 10 walikimbizwa katika Hospitali ya St Kizito  iliyopo Mikumi , wilayani Kilosa.( Picha na John Nditi).
Gari  aina ya Toyota Noah yenye namba ya usajili T 782 DKV  inayofanya safari zake mji wa Ruaha   Kilosa - Mikumi  baada ya kupinduka eneo la Kijiji cha Lumango, katika  kona kali barabara ya Kilombero- Mikumi

Wasamaria wema akiwemo Mwandishi wa habari na mpiga picha wa Kituo cha ITV , Mkoa wa Morogoro, Hussein Nuha wakitoa msaada. Picha na John Nditi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...