Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kulia), akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo (kushoto), mara baada ya kutembelea Ofisi ya Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (katikati), katika ziara hiyo, jijini leo. 
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (kushoto), akimweleza jambo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, wakati akimkaguza mabasi mapya ya usafirishaji abiria na vifurushi.   
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (kushoto), akimpatia maelezo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), kuhusu vifurushi vinavyotumwa na kupokelewa kutoka nje ya nchi. 
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (kushoto), akimpatia maelezo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), kuhusu ukaguzi wa vifurushi vinavyotumwa na kupokelewa kutoka nje ya nchi, alipofika kitengo cha Mamlaka ya Mapato (Forodha) Posta Kuu jijini Dar es Salaam.  
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), akipatiwa maelezo na mmoja wa wakaguzi wa vifurushi vinavyotumwa nje ya nchi, alipofika kitengo cha kuhudumia vifurushi, Posta Kuu jijini Dar es Salaam. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (mbele), akipatiwa maelezo na mmoja wa wahudumu wa Kitengo cha Jamii Centre, Veronica Nyindi, alipotembelea Posta Kuu jijini Dar es Salaam katika ziara hiyo leo.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...