Mkuu wa Mkoa wa Geita, Ndugu Robert Gabriel akipata maelezo ya Wizara kutoka kwa Bibi Jane Lyatuu alipotembelea banda la wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika maonesho ya Viwanda vya Tanzania vya Tanzania yanayofanyika Viwanja vya Mwl. Nyerere jijini Dar es salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Geita, Ndugu Robert Gabriel akipata maelezo ya namna TANTRADE inavyosaidia sekta ya asali kupenya kwenye masoko ya ndani nan je. kutoka kwa Bi Elizabeth Haule Afisa Biashara wa taasisi hiyo. 
   Mkurugenzi Utumishi Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Zanzibar ndugu Mohamed Jaffary Jummanne akipata maelezo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Bibi. Veronica Ngerageza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...