Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi Dkt. Edmund Bernard
Mndolwa ametengua ushindi wa Ndg. Ngingite Nassoro Mohamed ambaye
alichaguliwa kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kupitia Jumuiya ya
Wazazi (Bara) baada ya kubaini uwepo wa kasoro kubwa katika uhesabuji wa
kura wakati wa uchaguzi.
Kufuatia uamuzi huo Dkt. Edmund Mohamed Mndolwa amemtangaza Ndg. Kitwala Erick Komanya kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kupitia Jumuiya ya Wazazi (Bara) .
Kufuatia uamuzi huo Dkt. Edmund Mohamed Mndolwa amemtangaza Ndg. Kitwala Erick Komanya kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kupitia Jumuiya ya Wazazi (Bara) .
Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Edmund Benard
Mndolwa akizungumzia kuhusu kutengua ushindi wa mjumbe mmoja
aliyechaguliwa kuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha
Mapinduzi (CCM) kupitia Jumuiya ya Wazazi kwa upande wa Tanzania bara.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...