Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania bara timu ya soka ya Yanga imepangwa kundi moja na Singida United katika ushiriki wa michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu huko visiwani Zanzibar.
Yanga imepangwa katika kundi B lenye jumla ya timu sita huku kundi A lenye timu za Simba na Azam FC lina jumla ya timu tano.
Bingwa Mtetezi wa kombe hilo ni Azam ambao wapo kundi moja na mabingwa wa kombe la Shirikisho Simba sambamba na URA kutoka Uganda,Jamhuri na Mwenge zote za Zanzibar
MAPINDUZI CUP JANUARY 2018
GROUP A
1.Azam FC
2.Jamhuri SC
3.Mwenge SC
4.Simba SC
5.URA
GROUP B
1.JKU
2.Mlandege FC.
3.Singida United
4.Taifa ya Jang'ombe
5.Yanga SC na
6.Zimamoto
Bingwa Mtetezi wa kombe hilo ni Azam ambao wapo kundi moja na mabingwa wa kombe la Shirikisho Simba sambamba na URA kutoka Uganda,Jamhuri na Mwenge zote za Zanzibar
MAPINDUZI CUP JANUARY 2018
GROUP A
1.Azam FC
2.Jamhuri SC
3.Mwenge SC
4.Simba SC
5.URA
GROUP B
1.JKU
2.Mlandege FC.
3.Singida United
4.Taifa ya Jang'ombe
5.Yanga SC na
6.Zimamoto
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...