Shirika
lisilokuwa la kiserikali la faidika wote pamoja FAWOPA limetoa Elimu
kwa Wadau Mbalimbali wa sekta hiyo Juu ya uandaaji wa Bajeti na kuweza
kuwasilisha kwa kamati za Shule, ili kuzifanyia kazi Kwa lengo la
kuondokana na migongano inayojitokeza baina ya Wazazi na Walimu.
Mratibu wa shirika hilo Baltazar Komba amesema Bado viwango vya Bajeti mashuleni haijaainisha, matokeo yake Shule Nyingi wamekuwa wakitegemea wazazi kwa ajili ya michango kabla ya Mh. Rais John Pombe Magufuli kukataza Michango yoyote Mashuleni.
Aidha katika Ufuatiliaji uliofanywa na Kamati ya FAWOPA ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani imebaini kuwa Halmashauri haina Bajeti maalum ya Elimu zaidi ya Bajeti kutoka Serikali Kuu.
Lengo la mkutano huo ni kuhakikisha manispaa hiyo inapiga hatua katika suala la elimu kutokana mkoa was Mtwara kuwa nyuma katika Ufaulu ukilinganisha na mikoa mwingine.
Mratibu wa shirika hilo Baltazar Komba amesema Bado viwango vya Bajeti mashuleni haijaainisha, matokeo yake Shule Nyingi wamekuwa wakitegemea wazazi kwa ajili ya michango kabla ya Mh. Rais John Pombe Magufuli kukataza Michango yoyote Mashuleni.
Aidha katika Ufuatiliaji uliofanywa na Kamati ya FAWOPA ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani imebaini kuwa Halmashauri haina Bajeti maalum ya Elimu zaidi ya Bajeti kutoka Serikali Kuu.
Lengo la mkutano huo ni kuhakikisha manispaa hiyo inapiga hatua katika suala la elimu kutokana mkoa was Mtwara kuwa nyuma katika Ufaulu ukilinganisha na mikoa mwingine.
Pichani ni mratibu wa shirika lisilokuwa la kiserikali la faidika wote
pamoja FAWOPA iliyopo Mkoani Mtwara Baltazar Komba akizungumza na
wadau mbali mbali wa elimu juu ya Uboreshwaji wa Elimu mkoani Humo.
Mshauri
wa Mambo ya Kisheria FAWOPA Marythereza Namangi akitoa mafunzo kwa
Wadau Mbalimbali wa Elimu Juu ya uandaaji wa Bajeti katika mashule kama
Moja ya dhana ya Uwazi na Uwajibikaji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...