Mwenyekiti wa Kamati iliyoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuchunguza biashara ya madini ya
Tanzanite ambaye ni Waziri wa
Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi akisalimiana jijini Dar es
salaam leo Januari 17, 2018 na wawakilishi wa kampuni ya Tanzanite One
kabla ya kuanza na mazungumzo ambayo yanalenga kuhakikisha Tanzania inanufaika
ipasavyo na rasilimali ya madini hayo ambayo yanachimbwa nchini Tanzania pekee. Picha na IKULU
Home
IKULU
KAMATI YA RAIS YA KUCHUNGUZA BIASHARA YA MADINI YA TANZANITE YAANZA MAZUNGUMZO NA KAMPUNI YA TANZANITE ONE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...