Afisa Mradi wa Envirocare , ndugu Antony Mlelwa (Mwenye shati jeupe) akifungua na kumkabidhi kompyuta Afande Kamishna Gaston Sanga huku Mkurugenzi na Meneja Mradi wakishuhudia. Kompyuta hizo zitatumika kuhifadhia Taarifa na Takwimu kwa wataalam wapya wa katika Mradi wa Msaada wa Kisheria Magerezani.
Mkurugenzi wa Envirocare Bi Loyce Lema akitoa maelezo mafupi ya historia ya Envirocare kabla ya kumkaribisha Afande Kamishna Gaston Sanga kutoa hotuba ya Kamishna Jenerali wa Magereza na kufungua rasmi mafunzo ya siku tatu kwa wataalamu wapya wa Utunzaji wa Takwimu katika Mradi wa Msaada wa Kisheria Magerezani
Kamishna Sanga akitoa Nasaha za Kamishna Jenerali wa Magereza kabla ya kufungua rasmi mafunzo ya wataalam wapya Utunzaji wa Takwimu ambayo yanafanyika Makongo juu jijini Dar es Salaam kwenye ofisi Envirocare
Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Magereza Afande Gaston Sanga( wa pili kulia), Mkurugenzi wa Envirocare Bi Loyce Lema (wa pili kushoto) ,Meneja Mradi Bi Catherine Jerome( wa kwanza kulia) na Mwanasheria wa Jeshi la Magereza Makao Makuu, Mkaguzi Msaidizi Hobokela Mwansumbule(wa kwanza kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya siku tatu ya Utunzaji wa Taarifa na Takwimu.
Picha zote na Makao Makuu ya Magereza kitengo cha Habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...