Katibu
Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China
hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu
ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Katibu
Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China
hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu
ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Mazungumzo yakiendelea
Katibu
Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake, Balozi
wa China
hapa nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake,
Ofisi Ndogo ya Makao Makuu
ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. kushoto ni Katibu wa NEC
Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
Katibu
Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa China
hapa nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu
ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
"Byeee"
Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke, akimuaga Katibu Mkuu wa
CCM Komredi Kinana wakati akiwa tayari kuondoka Ofisi Ndogo ya Makao
Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Saslaam, leo. Kulia ni Katibu wa NEC
ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...