Diwani wa kata ya Mbalatse Wilayani Makete Mkoani Njombe (CHADEMA) Edson Msigwa amesema wanampango wa kwenda kumuona Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi awasaidie kutatua matatizo ya ardhi yaliyopo katika Kata hiyo
Katika Mahojiano Maalum na Eddy Blog, Diwani huyo ameelezea mengi, mtazame kwenye hiyo video kwa kubonyeza play hapo chini
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...