Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza katika Mkutano na wananchi wa Kata ya Kiwangwa kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu kuzungumza na Wananchi wa kata hiyo, kuhusu mipango ya kupeleka Nishati ya Umeme Vijijini. 
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu alifafanua juu ya Mabadiliko ya bei za umeme kufuatia taarifa kuwa bei zimebadilika toka Elfu 27 hadi Shilingi 180,000. alisema kuwa hakuna mabadiliko katika bei, hivyo wananchi wa kata hiyo wasiwe na wasiwasi na hakuna kitongoji kitakachoachwa kupatiwa umeme hasa maeneo yenye mahitaji maalum kama Hospitali, shule na kwenye shughuli za kijamii kama ofisi za kuhudumia wananchi.
Sehemu ya Wananchi wa moja ya vitongoji vya Kata ya Kiwangwa, wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...