Bwana. Hamisi Kambona na Mkewe Bibi.
Hawa Salimu wakiwa katika hafla fupi ya kuadhimisha miaka hamsini (50) ya ndoa
yao iliyofanyika Disemba 30, 2017 nyumbani kwake Mkoani Morogoro. Bwana. Hamisi
Kambona na Bibi. Hawa Salimu walifunga ndoa mwaka 1967. Watoto, Marafiki, Ndugu
na Jamaa wanawapongeza sana, wanawatakia heri nyingi na Mungu aendelee
kuwabariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...