Sehemu ya mashabiki wa
soka mkoa wa Tanga wakiojitokeza kufuatilia mchezo huo
Wachezaji wa timu ya Coastal
Union wakishangilia moja ya bao nne ambazo walifunga wakati wa kipindi
cha dakika 45 za kwanza kabla ya kuanza kipindi cha
pili ambapo
Coastal Union ilikuwa ikiongoza kwa mabao 3-0
Mchezaji wa timu ya Coastal Union
Raizani Hafidhi kushoto akijaribu kumtoka wa timu ya Kurugenzi FC ya
Mufindi Nickraus Mwansumbule wakati wa mchezo wa Ligi Daraja la kwanza
uliochezwa leo kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani mjini Tanga ambapo mpaka
dakika 45 Coastal Union walikuwa wakiongoza kwa mabao 3-0
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...