Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na watoto wakati alipotembelea shule  ya msingi ya Mitindo wilayani Misungwi  na kufungua bweni la wavulana katika shule hiyo ambayo pia inalea  na kusomesha watoto wenye ulemavu wa ngozi , Februari 19, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipofungua bweni la wavulana katika shule ya msing ya Mitindo wilayani Misungwi, Februari 19, 2018.Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella na watatu kulia ni Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga,
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mdawati katika madarasa ya shule ya msingi ya Mitindo wilayani Misungwi baada ya kufungua bweni la wavulana shuleni hapo Februari 19, 2018. Kushoto ni Mwalimu Mkuu wa Shule hyo, S. Mafie.
Wazri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mtoto Januari  wa Shule ya Msingi ya Mitindo wilayani Misungwi ambayo pia inawalea na kuwasomesha watoto wenye ulemavu wa ngozi , Februari 19, 2018. Mtoto huyo siku zote amesisitiza kwamba baada ya kumaliza masomo yake akiwa mtu mzima angependa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania .
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa kwenye picha ya pamoja na  watoto alipotembelea Shule ya Msingi ya Mitindo ambayo pia inalea na kuwasomesha watoto  wenye ulemavu wa ngozi wilayani Misungwi Februari 19, 2018. Mheshimiwa Majaliwa pia alifungua bweni la wavulana shuleni hapo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...