Mzee
wa mila za jamii ya kimaasai,Kilorit Ngulupa(kushoto) akiwaombea baraka
Mbunge wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha,Dk Steven Kiruswa na mkewe
wake, Agness Kiruswa.
|
Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hiyo. |
Mkuu wa mkoa wa Njombe,Christopher Ole Sendeka(kushoto) akipokea zawadi ya Mbuzi kutambua mchango wakati wa kampeni. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...