Mbunge wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha,Dk Steven Kiruswa akizungumza na wananchi mjini Longido katika sherehe aliyoindaa kuwashukuru kufuatia kuchaguliwa kwake mwezi uliopita. Ameahidi kuwatumikia wananchi wote bila kujali tofauti za kisiasa.

Mzee wa mila za jamii ya kimaasai,Kilorit Ngulupa(kushoto) akiwaombea baraka Mbunge wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha,Dk Steven Kiruswa na mkewe wake, Agness Kiruswa.

Mbunge wa zamani wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha,Lekule Laizer(kulia) akipokea zawadi ya blanketi kutoka kwa mbunge wa sasa, Dk Steven Kiruswa(kushoto) na mke wake,Agness Kiruswa wakati wa sherehe hiyo.

Baadhi ya viongozi waliohudhuria sherehe hiyo.

Mbunge wa jimbo la Longido mkoa wa Arusha,Dk Steven Kiruswa(kulia) akizungumza jambo na Gavana wa Kaunti ya Kajiado nchini Kenya,Joseph Ole Lenku baada ya sherehe na kukubaliana kuongeza ushirikiano baina ya wananchi wanaoishi maeneo ya mpakani.

Mkuu wa mkoa wa Njombe,Christopher Ole Sendeka(kushoto) akipokea zawadi ya Mbuzi kutambua mchango wakati wa kampeni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...