Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya, akifungua rasmi kongamano la kimataifa la Asali (CESO) likiwa na lengo la kuongeza uzalishaji wa asali nchi.
Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya (wa pili kutoka kulia) akishiriki kongamano la kimataifa (CESO) la kujadili changamoto katika uzalishaji wa asali nchini, limefanyika katika ukumbi wa Mount Meru Hotel, Arusha tarehe 19/2/2018.
Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya, akimsikiliza Mhandisi Mkuu wa Utafiti kutoka Shirika la Usanifu Mitambo (TEMDO) akifungua rasmi kongandugu Patrick Kivanda.
Wafanyakazi wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Mhandisi Stella Manyanya, alipotembelea kiwanda cha SUNFLAG.
Naibu Waziri, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya, akiangalia nguo mbalimbali zinazotengezwa na kiwanda cha SUNFLAG cha jijini Arusha, pembeni ni Mtenaji mkuu wa Kiwanda ndugu Ajay Shah.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...