Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mheshimiwa Zainab Telack akielezea umuhimu wa wananchi kushiriki kikamilifu katika Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi unaoendelea mkoani Shinyanga. Kushoto niMeneja wa Takwimu (NBS) wa mkoa wa Shinyanga, Evarist Tairo. Kulia ni Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Shinyanga Dk. Rashid Mfaume ambaye ni Mganga Mkuu wa mkoa wa Shinyanga.
.
Picha ya pamoja Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, waandishi wa habari ,maafisa kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu.
Picha ya pamoja Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, waandishi wa habari ,maafisa kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...