Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa akimkabidhi cheti shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga wakati wa mkutano Mkuu wa Mwaka wa sita wa taasisi ya kutoa huduma za viwango vya barcodes na mifumo ya ufatiliki Tanzania(GS1) wa watumiaji wa Barcodes na Mkutano wa saba wa wadau . Mkutano huo ulifanyika jana Jijini Dar es Salaam katika jengo la LAPF . NIC ilikuwa moja ya taasisi zilizodhamini mkutano huo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la taifa (NIC) Sam Kamanga akizungumza wakati wa mkutano Mkuu sita wa Mwaka wa taasisi ya kutoa huduma za viwango za Barcodes na mifumo ya ufatiliki Tanzania(GS1) wa watumiaji wa Barcodes na Mkutano wa wa saba wa wadau . Mkutano huo ulifanyika jana Jijini Dar es Salaam katika jengo la LAPF, NIC walidhamini mkutano huo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga akizungumza wakati wa mkutano Mkuu huo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga akifatilia kwa makini mkutano huo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...