Kwa   mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, suala   la  kitambi, unene  na /ama  uzito  ulizo zidi  linasababishwa  na uwepo  kwa  kiasi  kikubwa  cha  mafuta  kwenye  mishipa  ya  damu.
SLIMMING  OIL  ni  dawa  ya  asili  inayo  saidia  kumaliza  tatizo  la  kitambi, unene  na  uzito  ulio zidi kwa  kusafisha  mishipa ya  damu  kwa  kuyeyusha  na   kuondoa  mafuta yasiyo  hitajika  ama  mafuta  ya  ziada  yaliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  damu.
VILEVILE : SLIMMING  OIL  pia  inasaidia  kutibu  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  kutokwa  na  chunusi  za  usoni, vipele  na  majipu mwilini  pamoja  na  tatizo  la  kutokwa  kwa  vipele sugu  katika  eneo  la  chini  ya  kisogo (kichogo )  linalo  tokana  na  kunyolewa  kwa  kutumia  mashine  ambazo  hazijafanyiwa  usafi.
Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM   nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO NATIONAL  HOUSING.
Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  0766  53  83  84.
Kwa  taarifa  na  maelezo zaidi  kuhusu  huduma  zetu  nyinginezo,  tutembelee  kupitia :

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...