Familia ya wanakifungilo wanasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa na mlezi wao Sr. Mary Fidesta Rimisho C.P.S., aliyepata kuwa mkuu wa shule ya Kifungilo kianzia mwaka 1981 hadi 2000, kilichotokea ghafla Jumanne asubuhi tarehe 13 Feb.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Arusha siku ya Jumamosi tarehe 17 Feb kuanzia saa 4 asubuhi USA River. Habari ziwafikie wanafunzi wote wa Kifungilo, popote pale walipo duniani, wazazi, ndugu, jamaa na marafiki.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu MAMA yetu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...