Walimu wastafu katika manispaa ya Songea wamewataka vijana kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kuliboresha chama hicho kiweze kuwa imara na kuzaa matunda mema hayo wameyasema hayo wakati walipokabidhiwa fedha kiasi cha shilingi laki tatu na robaini kama sehemu ya mchango wao katika chama ch CWT. HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.
Home
Unlabelled
WALIMU WASTAAFU SONGEA WAASA VIJANA WAFANYE KAZI WA WALEDI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...