Mkuu
wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara
Bw. Evod Mmanda jana machi 21/2018 ametembelea eneo la Chuo cha Kilimo
MATI mkoani Mtwara ili kujionea uvamizi uliofanywa na baadhi ya wananchi
kwenye eneo la chuo ambapo wavamizi wamefyeka na kupanda mazao ya
kudumu kuashiria kujitwalia isivyo halali maeneo hayo.
Mkuu
wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara
Bw. Evod Mmanda akijadiliana jambo na baadhi ya wajumbe wa kamati ya
Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Mtwara wakati walipokagua eneo la chuo
cha Mati Mtwara lililovamiwa na wananchi.
Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda akimsikiliza Mmoja wa wazee majirani walioshuhudia wakati serikali ikitwaa eneo hilo la hekta 560 na kuwalipa fidia wenyeji mwaka 1974 wakati akiongea na kamati
Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda akizungumza baadhi ya wajumbe wakati wa ukaguzi wa eneo hilo la hekta 560 ambalolimevamiwa na wananchi.
Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda akizungumza baada ya kukagua eneo hilo la hekta 560 ambalo serikali ililitwaa na kuwalipa fidia wenyeji mwaka 1974.
Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda akimsikiliza Mmoja wa wazee majirani walioshuhudia wakati serikali ikitwaa eneo hilo la hekta 560 na kuwalipa fidia wenyeji mwaka 1974 wakati akiongea na kamati
Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda akizungumza baadhi ya wajumbe wakati wa ukaguzi wa eneo hilo la hekta 560 ambalolimevamiwa na wananchi.
Mkuu wa wilaya na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya Mtwara Bw. Evod Mmanda akizungumza baada ya kukagua eneo hilo la hekta 560 ambalo serikali ililitwaa na kuwalipa fidia wenyeji mwaka 1974.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...