Diwani
wa kata ya Kaloleni Halmashauri ya jiji la Arusha, Ndg.Emmanuel Kessy
wa CHADEMA (pichani kati) amejiuzulu uanachama na udiwani mapema jana na
kutangaza kujiunga na chama cha CCM, kwa kile alichoeleza kuwa amefanya
hivyo ili kuunga mkono juhudi za Mh.Rais Magufuli.Diwani huyo
amepokelewa na Katibu mwenezi wa Wilaya ya Arusha Mjini Ndg.Abrahamu
Mollel pamoja Katibu Hamasa wa Vijana Mkoa wa Arusha Ndg. Omary Lumato
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...