Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akiapa mbele ya Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Polisi
 Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro (kulia),  akipokea hati ya kiapo kutoka kwa  Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha  kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Polisi
 Kamishna wa Uhamiaji, Edward Chogero (kulia),  akipokea hati ya kiapo kutoka kwa  Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari, ambayo inamuwezesha  kuwa mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza. Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Polisi
 Jaji Kiongozi Ferdinand Wambari,akizungumza na Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro(kulia) na Kamishna wa Uhamiaji,Edward Chogero (kulia), baada ya kuwaapisha kuwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Polisi na Magereza.Tukio hilo limefanyika leo Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam.Picha na Jeshi la Polisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...