Mama wa Mtoto Shaibu Alifa akiwa anampeleka mwanae Shule, ambaye anasoma shule ya msingi Mchangani iliyopo wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma. Kampuni ya D and G Export Ltd inayofanya kazi ya kununua korosho katika wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma imemsaidia baiskeli ya Miguu minne (wheelchair mpya) mtoto Shaibu Alifa mwenye ulemavu wa miguu pamoja tani 3 za saruji kwa ajili ya kukarabati vyoo shuleni ya Mchangani, ujenzi wa zahanati ya Chikomo na kuboresha jengo la tarafa
Home
Unlabelled
KAMPUNI YA D AND G EXPORT LTD YATOA MSAADA WA BAISKELI NA TANI 3 ZA SARUJI RUVUMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...