Ni miaka mitano sasa toka ndugu yetu kipenzi Ibrahim Werema John ututoke tarehe 13. march 2013.
Imekua ngumu kukusahau kwani Upendo, Ucheshi, Wema na Fadhila zako kwetu bado vinaishi nasi.
Unakumbukwa sana na mke wako kipenzi Bi. Agatha, wazazi wako Mr.& Mrs. John Keraryo, dada yako Anna, wadogo zako Israel, Simon, Sunday, Kulwa na Doto, mkwe wako mzee Soka, sehemeji zako ndugu, jamaa na marafiki.
JINA LA BWANA LIPEWE SIFA. AMEN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...