Ni miaka mitano sasa toka ndugu yetu kipenzi Ibrahim Werema John ututoke tarehe 13. march 2013.



 Imekua ngumu kukusahau kwani Upendo, Ucheshi, Wema na Fadhila zako kwetu bado vinaishi nasi.      


                Unakumbukwa sana na mke wako kipenzi Bi. Agatha, wazazi wako Mr.& Mrs. John Keraryo, dada yako Anna, wadogo zako Israel, Simon, Sunday, Kulwa na Doto, mkwe wako mzee Soka, sehemeji zako ndugu, jamaa na marafiki.  


                       JINA LA BWANA LIPEWE SIFA.                                AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...