Malkia wa nyimbo za Injili hapa nchini,Rose Muhando ametihitisha kushiriki  tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Aprili 1 na Aprili 2 kwenye uwanja wa Halmashauri mjini Bariadi Mkoani Simiyu. 

Akizungumza hivi karibuni wakati wa maandalizi yake,Rose Muhando amesema yuko tayari kwa kazi ya kuburudisha katika tamasha hilo ambapo pia atazindua albam yake yenye jumla ya nyimbo saba,itakayojulikana kwa kwa jina la “Usivunjike Moyo” .

Katika Tamasha hilo Kiingilio kimepangwa kuwa, watu wazima ni  shilingi Elfu 5000 na watoto itakuwa ni shilingi 2000 na Kiingilio katika tamasha la Pasaka mkoani Simiyu watu wazima itakuwa ni shilingi 3000 na watoto ni shilingi 2000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...