Askofu Dkt Alex Malasusa wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, (DMP) akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani Mh.Edward Lowassa leo katika ibada ya Ijumaa Kuu
Askofu Dk Alex Malasusa wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, (DMP) akiomgoza ibada ya ya i\Ijumaa Kuu leo jijini Dar as Salaam.Picha na Emmanuele Massaka,Globu ya jamii
Waziri Mkuu wa zamani Mh.Edward Lowassa (wa kwanza kushoto) akiwa pamoja na waumini wengine kwenye ibada ya Ijumaa kuu leo jiji Dar as Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...