Ndugu wa Marehemu Kingunge Ngombalemwilu wakiwa katika picha ya pamoja mara bada ya kuhitimisha arobaini katika makaburi ya kinondoni Dar es Salaam.
 Mtoto Maraehemu Mzee Kingunge Gombalemwili , Kinjeketile Ngombale akiwa na mkewe akiweka shada la maua kwenye kaburi la babayake wakati wa kuhitimisha arobaini ya msiba wa Baba yake na Mama yake katik amakaburi ya kinondoni jijini Dar es Salaam.
 Ndugu wa Marehemu Mzee Kingunge  Ngombalemwilu wakiwa wamekusanyika katika kuomboleza arobaini ya msiba  katika makaburi ya kinondoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...