Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC  Ndugu Elishilia    Kaaya anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Bibi  ELIATIRISHA  TEVELI SUMARI kilichotokea katika Hospitali ya AICC jijini Arusha leo.

Mipango ya Mazishi inaendelea nyumbani kwa marehemu kijijini Nguruma, wilayani  Arumeru.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.

MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI  - AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...