Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC Ndugu Elishilia Kaaya anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Bibi ELIATIRISHA TEVELI SUMARI kilichotokea katika Hospitali ya AICC jijini Arusha leo.
Mipango ya Mazishi inaendelea nyumbani kwa marehemu kijijini Nguruma, wilayani Arumeru.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.
MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI - AMEN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...