Ndugu wapendwa watanzania na marafiki wa Tanzania wote, tunasikitika kutangaza kifo cha ndugu yetu Leyla Mtumwa kilichotokea tarehe 30 March 2018 mjini London. Inasadikiwa mauti yalimkuta baada ya purukushani na mume wake ambapo alichomwa kisu na kufariki papo hapo.
Mwili wa marehemu bado unahifadhiwa na polisi kwa ajili ya uchunguzi, baada ya taratibu nyingine. Tutakujulisheni taarifa nyingine tutakayoipata haraka iwezekanavyo.
Msiba utakuwa:
96 Berecroft. Harlow town.
CM 18 7SD
Kama desturi yetu tulionayo kama jamii tunawaomba michango yenu kwa hali na mali ili kufanikisha zoezi la kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda Arusha,Tanzania.
Account details: RMI Kieti
Sort code 20-36-98
Account no 63049248
Bank.
Sort code 20-36-98
Account no 63049248
Bank.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na
Malick Kieti 07787449340 .
Said John 07957542863.
Enzy Larusai 07956483352.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...