Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania UK na Northern Ireland inapenda kuwatangazia Wanachama wake na Watanzania wote wanaoishi nchini Uingereza, Wales, Scotland na Ireland ya Kaskazini (Ireland)
kuwa Mkutano Mkuu wa Pili (AGM – 2018) Utafanyika katika Jiji la Coventry hapa nchini Uingereza
Anuani – ST. MARY & ST BENNEDICT
                 52A RAGLAN STREET
                 COVENTRY –  CV1 5QF
Kuanzia saa tano asubuhi hadi saa kumi na moja Jioni, Ajenda kuu kubuni mikakati Zaidi kwa maendeleo ya Jumuiya Yetu
Kuongeza Ushirikiano na Jumuiya mbalimbali hapa UK na Ireland
kutakuwa na chakula cha mchana na vinywaji Baridi
WANACHAMA HAI BUREE NA ASIYE MWANACHAMA NI £15 (£5 ADA YA KUJIUNGA NA £10 CHAKULA)WATAKAOJIUNGA SIKU HIYO KUPEWA MAELEKEZO YA NAMNA YA KUWA MWANACHAMA HAI NA WATAKAVYOWEZA KUSHIRIKI KATIKA UJENZI WA JUMUIYA (Terms and Condition Apply)
Mara baada ya Mkutano ni burudani ya Muziki katika Club Junction – Coventry mpaka majogoo
DISCOUNTED GROUP HOTEL BOOKING – AVAILABLE

FOR MORE INFO, PLEASE CALL – 07402344004/07941656446/07956485119/07903828119

WOTE MNAKARIBISHWA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...