Mwanamuziki mahiri wa Bongofleva nchini Ali Kiba, leo amefunga ndoa na Binti wa Kimombasa ajulikanae kwa jina la Bi.Amina Khalef,ndoa hiyo imefungwa katika msikiti wa Ummu Kulthum uliopo mjini Mombasa nchini Kenya,ambapo hafla hiyo imehudhuriwa na watu wa aina mbalimbali wakiwemo mashuhuri .Aidha taarifa zinaeleza kuwa Harusi hiyo itakayokuwa ya aina yake itarushwa LIVE na kituo cha televisheni ya AZAM jioni ya leo.
Mwanamuziki mahiri wa Bongofleva nchini Ali Kiba akizungumza na 'mpambe' wake leo wakati akifunga ndoa na Binti wa Kimombasa ajulikanae kwa jina la Bi.Amina Khalef,ndoa hiyo
imefungwa katika msikiti wa Ummu Kulthum uliopo mjini Mombasa nchini
Kenya.
Alikiba akifurahia jambo na marafiki zake mara baada kufunga ndoa
Ali Kiba akifurahia jambo akiwa na ndugu,jamaa na marafiki zake waliomsindikiza kwenye kuchukua 'jiko' mapema leo asubuhi huko mjini Mombasa.
Msanii alikiba na Wapambe wake wakielekea kufunga ndoa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...