Meneja
Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akikabidhi moja
ya kompyuta 10 kwa Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya
Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam
zilizotolewa na benki ya Access kwa shule hiyo Baadhi ya vitu vingine
vilivyotolewa na benki ya Access kwa shule hiyo ni pamoja na viti 10na
meza za kompyuta 10 wanaoshuhudia tukio hilo kulia ni Mwanafunzi Amina
Ibony wa kidato cha IV na Nasib Masenga Kidato cha IV.
Meneja
Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akiwa na Bw.
Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya
Kinondoni jijini Dar es salaam mara baada ya kukabidhi kompyuta hizo
kutoka kulia ni Benedig Mfoi Meneja Uendeshaji Camara Education
Foundation Tanzania.
Meneja
Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akimsikiliza
Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya
ya Kinondoni jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akisoma risala ya
shule mara baada ya kupokea kompyuta 10 kutoka Benki ya Access ya jijini
Dar es salaam.
Baadhi
ya wanafunzi wa shule ya sekondari Turiani wilaya ya Kinondoni
wakitumia kompyuta mara baada ya kukabidhiwa na benki ya Access leo
jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...