Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akikabidhi moja ya kompyuta 10 kwa Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam zilizotolewa na benki ya Access kwa shule hiyo Baadhi ya vitu vingine vilivyotolewa na benki ya Access kwa shule hiyo ni pamoja na viti 10na meza za kompyuta 10 wanaoshuhudia tukio hilo kulia ni Mwanafunzi Amina Ibony wa kidato cha IV na Nasib Masenga Kidato cha IV.
2
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akiwa na Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam mara baada ya kukabidhi kompyuta hizo kutoka kulia ni Benedig Mfoi Meneja Uendeshaji Camara Education Foundation Tanzania.
4
Meneja Masoko Mwandamizi wa Benki ya Access Bw. Simon Sijaona akimsikiliza Bw. Izungo Angalo Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Turiani Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akisoma risala ya shule mara baada ya kupokea kompyuta 10 kutoka Benki ya Access ya jijini Dar es salaam.
5
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Turiani wilaya ya Kinondoni wakitumia kompyuta mara baada ya kukabidhiwa na benki ya Access leo jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...