Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January
Makamba hii leo amewasilisha Bungeni azimio la kuridhia Makubaliano ya Paris chini
ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, Bunge
limeridhia azimio hilo leo
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Kangi Lugola akizungumza na Makamu
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mhe. Innocent Lugha Bashungwa mara
baada ya Bunge kuridhia Makubaliano ya Paris chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa
kuhusu Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo (kulia) akibadilishana
mawazo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mhe. Suleiman Sadiq mara
baada ya kuahirishwa kwa shughuli za Bunge hii leo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January
Makamba akisisitiza jambo kwa watendaji wa Ofisi yake. Kutoka kushoto ni Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo na Bi. Butamo Phillip Naibu
Katibu Mkuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...