Daktari wa Mifugo na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Dkt. Augustino Chengula, amekuja na app yake ya UFUGAJI inayopatikana google play store. App hii ni ya tovuti ya ufugaji wa mifugo ya aina mbalimbali pamoja upampanaji wa magonjwa. Tovuti yake ni ufugaji.co.tz. Hii ni tovuti pekee nchini iliyoshheeni elimu muhimu sana ya ufugaji.
Link ya App play store ni hii hapa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...