Daktari wa Mifugo na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Dkt. Augustino Chengula, amekuja na app yake  ya UFUGAJI inayopatikana google play store. App hii ni ya tovuti ya ufugaji wa mifugo ya aina mbalimbali pamoja upampanaji wa magonjwa. Tovuti yake ni ufugaji.co.tz. Hii ni tovuti pekee nchini iliyoshheeni elimu muhimu sana ya ufugaji. 
Link ya App play store ni hii hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...