Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu , Dkt Ave Maria Semakafu akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya siku ya Tehama kwa watoto wa kike Duniani ambapo alitumia muda huo kuwaasa mabinti kutumia vizuri mitandao ya kijamii kwa ajili ya manufaa yao ya baadae na kuacha kutumia kwa matumizi ambayo yatawagharimu kwani picha katika mitandao hazifutiki.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt Raynold Mfungahema akizungumza kabla ya kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu katika Maadhimisho ya siku ya Tehama kwa Mtoto wa kike Duniani.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Dkt. Ave Maria Semakafu, akipata maelezo juu ya Teknolojia ya Ununuzi wa pedi mtaani kwa shilingi 200 au katika shule za sekondari hili kuweza kumsaidia mtoto wa kike.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Dkt. Ave Maria Semakafu akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Masafa kutoka TCRA,Mhandisi Stella Bunyenza ni nmana gani gari hiyo inawez akufatilia masafa mbalimbali.
Sehemu ya Wadau walioshiriki katika Maadhimisho ya siku ya Tehama kwa Mtoto wa kike Duniani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...