Makamu wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi  ametembelea banda la maonyesho la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA).TCAA ni miongoni mwa taasisi na kampuni zinazoshiriki mkutano wa Saba (7) wa Umoja wa Kampuni za Ndege Barani Afrika(AFRAA) unaofanyika katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort Kuanzia April 9-10, 2018. Mkutano huu unatoa fursa kwa watumiaji na watoa huduma za usafiri wa anga kuonyesha maendeleo katika sekta.
 Makamu wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (wa Pili Kulia o)  Akimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Vallery Chamulungu(wa Kwanza Kushoto) alipotembelea banda la maonyesho la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Katika mkutano wa Umoja wa Kampuni za Ndege Barani Afrika(AFRAA) Yanayofanyika Zanzibar Beach Resort kuanzia April 8-10, 2018.
  Makamu wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (wa pili kushoto)  alipotembelea banda la maonyesho la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Katika mkutano wa Umoja wa Kampuni za Ndege Barani Afrika(AFRAA) yanayofanyika Zanzibar Beach Resort kuanzia April 8-10, 2018.Wengine kutoka Kushoto ni  Waziri wa Miundombinu, Uchukuzi na Mawasiliano Zanzibar, Dr. Sira Ubwa Mamboya na Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL Eng. Ladslaus Matindi.
Makamu wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (wa Kwanza kulia)  Akifurahia Jambo na Maafisa wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) alipotembelea banda la maonyesho la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Katika mkutano wa Umoja wa Kampuni za Ndege Barani Afrika(AFRAA) Yanayofanyika Zanzibar Beach Resort kuanzia April 8-10, 2018.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...