Mwezeshaji kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Angela Shangali (aliyesimama ) ikiwasilisha mada kwa Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Prof. Tadeo A.Satta pamoja na viongozi waandamizi wa Chuo hicho yaliyofanyika chuoni hapo.
Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha ( IFM) Prof.Tadeo Satta (wa katikati mstari wa mbele ) akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi mzima wa Chuo hicho, mara baada ya kumaliza mafunzo ya kuzuia rushwa yaliyofanyika chuoni hapo, mafunzo yaliendeshwa na wawezeshaji kutoa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...