Ofisa
Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS PLC, Bi. Martha Mashiku, akitoa elimu ya
uwekezaji wa pamoja kwa wastaafu watarajiwa wa Wakala wa Huduma za
Misitu Tanzania katika Ukumbi wa Mkutano wa Hoteli ya Kings Way mkoani
Morogoro. (Na Mpiga Picha Wetu).
Baadhi ya washiriki wakipata elimu juu ya Uwekezaji wa Pamoja kwa wastaafu watarajiwa wa Wakala wa Huduma za
Misitu Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...