Zainab Nyamka, Globu ya jamii

KIKOSI cha Young Africans kitakachoanza dhidi ya Singida United katika mechi ya Ligi Kuu Bara inayochezewa leo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mlinda mlango ni  Youthe Rostand, namba mbili ni Hassan Kessy, namba tatu Haji Mwinyi, namba 4 Abdallah Shaibu, namba 5 Kelvin Yondani, namba 6 Papy Tshishimbi wakati namba 7 ni  Yusuph Mhilu.

Namba 8 atacheza Raphael Daudi, namba 9 Obrey Chirwa, namba 10 Pius  Buswita na namba 11 ni Ibrahim Ajibu


Wakati kikosi cha akiba
12 Ramadhani Kabwili, namba  
13 Juma Abdul, namba 
14 Nadir Haroub, namba 
15 Said Makapu
16 Geofrey Mwashiuya
17 Emmanuel Martin
18 Juma Mahadhi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...