Zainab Nyamka, Globu ya jamii
KIKOSI cha Young Africans kitakachoanza dhidi ya Singida United katika mechi ya Ligi Kuu Bara inayochezewa leo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mlinda mlango ni Youthe Rostand, namba mbili ni Hassan Kessy, namba tatu Haji Mwinyi, namba 4 Abdallah Shaibu, namba 5 Kelvin Yondani, namba 6 Papy Tshishimbi wakati namba 7 ni Yusuph Mhilu.
Namba 8 atacheza Raphael Daudi, namba 9 Obrey Chirwa, namba 10 Pius Buswita na namba 11 ni Ibrahim Ajibu
Wakati kikosi cha akiba
12 Ramadhani Kabwili, namba
13 Juma Abdul, namba
14 Nadir Haroub, namba
15 Said Makapu
16 Geofrey Mwashiuya
17 Emmanuel Martin
18 Juma Mahadhi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...