Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akitoa hotuba yake katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,  Zanzibar leo. 
 Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA) wakimsikiliza Mgeni Rasmi, Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd wakati akitoa hotuba yake katika Ufunguzi wa Mkutano wao Mkuu, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Waziri wa Kazi, Uwezeshaji Wazee na Wanawake - Zanzibar, Modlen Kastiko akizungumza na kuwahusia Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), katika Mkutano wao Mkuu, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Doroth Mwaluko akisisitiza jambo katika Mkutano Mkuu Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
 Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga akihamasisha jambo kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Chama hicho, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar.
Wajumbe wa Chama Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA) wakifurahia jambo.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (wa pili kushoto) akimpongeza Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga, kwa hotuba yake aliyoisomba mbele ya Mkutano Mkuu Chama hicho, unaofanyika kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA), Tunguu, Zanzibar. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Doroth Mwaluko na Kulia ni Katibu Mkuu wa TAPSEA, Festo Melikiory.
  Sehemu ya Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA) wakifatilia hotuba ya Mgeni Rasmi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...