Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi Bi Eliminata Awet Mratibu wa Kituo cha Utamaduni cha 4CCP Haydom wakiangalia nyumba ya wanyilamba wakati alipotembelea kituo hicho leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi na Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Mbulu wakitoka nje ya nyumba ya kabila ya Wanyiramba huku wakiongozwa na mzee Salum Shaban Mwakilishi wa wabantu na aliyekuwa akitoa maelezo kuhusu tamaduni za kabila hilo alipokuwa akiangalia nyumba ya kabila la Wanyiramba wakati alipotembelea katika kituo hicho leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akiakiondoka mara baada ya kutembelea nyumba ya Wanyiramba na Wanyisanzu inazopatikana katika Kituo cha utamaduni cha 4CCP Haydom alipotembelea katika kituo hicho leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akionyeshwa picha mbalimbali zinazoonyesha matukio ya Kituo cha Utamaduni cha 4CCP Haydom wakati alipotembelea katika kituo hicho leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akimsikiliza Bw. Edward Mashimba Mwenyekiti wa Kabila la Wahdzabe wakati akitoa maelezo kuhusu nyumba ya kabila hilo inayopatikana katika Kituo cha Utamaduni cha 4CCP Haydom wakati alipotembelea katika kituo hicho leo.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...