Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Nipe Fagio, Bi. Tania Hamilton akisisitiza jambo katika mkutano na wadau mbalimbali jana jijini Dar es Salaam wakati wa kikao cha uzinduzi wa kampeni ya usafi nchi nzima inayoendeshwa na shirika hilo. Kampeni hii inayojulikana kama Let's Do It Tanzania! ni endelevu hadi kilele cha Siku ya Usafi Duniani tarehe 15 Septemba mwaka huu ikilenga kuwashirikisha asilimia tano (watu 1.1milioni) ya Watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi katika zoezi hilo la usafi. Kitaifa, kampeni hiyo ilizinduliwa na Waziri wa Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Bw. Suleiman Jaffo mwezi wa Pili mwaka huu.
Mkurugenzi wa Shirika lisilo la Kiserikali la Nipe Fagio, Bi. Tania Hamilton (aliye chuchumaa kushoto) katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali jana jijini Dar es Salaam wakati wa kikao cha uzinduzi na kufahamu zaidi kampeni ya usafi nchi nzima inayoendeshwa na shirika hilo. Kampeni hii inayojulikana kama Let's Do It Tanzania! Ni endelevu hadi kilele cha Siku ya Usafi Duniani tarehe 15 Septemba mwaka huu ikilenga kuwashirikisha asilimia tano (watu 1.1milioni) ya Watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi katika zoezi hilo la usafi. Kitaifa, kampeni hiyo ilizinduliwa na Waziri wa Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Bw. Suleiman Jaffo mwezi wa Pili mwaka huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nipo Sweden hizo kampeni mbona sijaziona huku au huku si duniani jamani???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...