Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha St. John kilichopo Jijini Dodoma, Prof. Emmanuel Mbennah (katikati) na mmoja ya Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Michigan kilichopo nchini Marekani walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha St. John kilichopo Jijini Dodoma, Prof. Emmanuel Mbennah (katikati) na mmoja ya Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Michigan kilichopo nchini Marekani walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Michigan kilichopo Mjini Michigan, nchini Marekani walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Mwingira (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma. Kulia ni Mke wake wa Nabii, Ndg. Eliakunda Josephat Mwingira.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati)akimsikiliza Mhe. Anna Lupembe (aliesimama) akizungumza wakati walipotembelewa na ugeni ulioongozwa na Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat leo Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...