Mwanzilishi wa Taasisi ya Humanity Action For Children Foundation, Rahma Mohamed Abdallah akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa kwa makundi ya watu wenye ulemavu kwa mkoa wa Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Humanity Action For Children Foundation, Rashid Mchujuko akizungumza mara baada ya kukabidhi Vifaa kwa makundi ya watu wenye ulemavu wa mkoa wa Dar es Salaam.
Mjumbe wa Bodi wa Taasisi ya Humanity Action For Children Foundation, Haji Janguo akikabidhi Magongo ya kutembelea kwa watu wenye ulemavu wa viungo wa mkoa wa Dar es Salaam kwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Sabrina Semsimba huku wajumbe wengine wakishuhudia
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...