Mwanzilishi wa Taasisi ya Humanity Action For Children Foundation, Rahma Mohamed Abdallah akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa kwa makundi ya watu wenye ulemavu kwa mkoa wa Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Taasisi ya  Humanity Action For Children Foundation, Rashid Mchujuko akizungumza mara baada ya kukabidhi Vifaa kwa makundi ya watu wenye ulemavu wa mkoa wa Dar es Salaam.

Mjumbe wa Bodi wa Taasisi ya  Humanity Action For Children Foundation, Haji Janguo akikabidhi Magongo ya kutembelea kwa watu wenye ulemavu wa viungo  wa mkoa wa Dar es Salaam kwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Sabrina Semsimba  huku wajumbe wengine wakishuhudia 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...