Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza
wakati wa uzinduzi wa mdahalo wa kitaifa wa kujadili ushirikishwaji wa jamii
katika uwekezaji ndani ya nchi ili
kuchangia ajenda ya viwanda uliofanyika leo Jijini Dodoma.Kulia kwake ni Afisa
Mtendaji Mkuu wa Tasisi ya Uongozi Prof
Joseph Semboja,Nlanla Gumede kutoka Afrika Kusini na Katibu Mtendaji Baraza la
Taifa la Uwezeshaji wananchi kiuchumi
Bi.Beng’i Issa.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Tasisi ya
Uongozi Prof Joseph Semboja akizungumza
kabla ya kukaribisha mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa mdahalo wa kitaifa wa
kujadili ushirikishwaji wa jamii katika uwekezaji ndani ya nchi ili kuchangia ajenda ya viwanda
uliofanyika leo Jijini Dodoma..Kulia kwake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera, Bunge,Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama Nlanla
Gumede kutoka Afrika Kusini na Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi
kiuchumi Bi.Beng’i Issa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta
jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Tasisi
ya Uongozi Prof Joseph Semboja wakati wa
uzinduzi wa mdahalo wa kitaifa wa kujadili ushirikishwaji wa jamii katika
uwekezaji ndani ya nchi ili kuchangia
ajenda ya viwanda uliofanyika leo Jijini Dodoma.
Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la
Uwezeshaji wananchi kiuchumi Bi.Beng’i
Issa Akizungumzia umuhimu wa mkakati wa ushirikishwaji wa jamii katika
uwekezaji ndani ya nchi ili kuchangia
ajenda ya viwanda uliofanyika leo Jijini Dodoma.
Wadau wa mdahalo wa kitaifa wa
kujadili ushirikishwaji wa jamii katika uwekezaji ndani ya nchi ili kuchangia ajenda ya viwanda
wakisikiliza hotuba ya Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye ulemavu Mhe.Jenista
Mhagama wakati akizindua mdahalo huo leo Jijini Dodoma.
Picha zote na Daudi Manongi,Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...