Waziri wa Habari, Sanaa , Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza wakati wa kuhitimisha fainali za shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha Radio cha Efm na Tv , Kwa kuwapongeza kuwa kituo cha kwanza kuwakumbuka wasikilizaji wake kwa kuwawezesha kuwa Wajasiliamali.
 Waziri wa Habari, Sanaa , Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, akikabidhi zawadi ya Gari kwa Mshindi wa shindano la Shika Ndinga kwa Wanaume, ambaye ametokea mkoa wa Tanga.
 Waziri wa Habari, Sanaa , Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe  akikabidhi Zawadi ya Gari kwa Mshindi wa Shika Ndinga kwa Wanawake, ambaye anatokea Mkoa wa  Mwanza
 Meneja wa Kituo Cha Radiio cha EFM na Tv E ,Dennisi Busulwa(Sebo) akizungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waliofika kushuhudia fainali za shindano la Shika Ndinga katika Viwanja vya Tanganyika Parker's Dar es Salaam.
 Watangazaji wa Kipindi cha Ubaoni kutoka Radio ya Efm, Mpoki na Dokii wakishangilia na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam waliofika katika fainali za shindano hilo katika Viwanja vya Tanganyika Parker's.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...